Swali: Kuacha kuamrisha mema na kukataza maovu kwa kuogopa watu kunahesabika ni katika shirki? Mtunzi wa Fath-ul-Majiyd (Rahimahu Allaah) kwenye mlango wa Kauli Yake (Ta´ala):
إِنَّمَا ذَٰلِكُمُ الشَّيْطَانُ يُخَوِّفُ أَوْلِيَاءَهُ
“Hakika huyo ni shaytwaan anawakhofisha awliyaa [marafiki na wasaidizi] wake.” (03:175)
Amesema hivo.
Jibu: Ndio, ni katika shirki ndogo. Mwenye kuacha kuamrisha mema na kukataza maovu kwa kuogopa watu, hii ni shirki ndogo. Mtunzi wa Fath-ul-Majiyd amesema haya.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (05) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_05.mp3
- Imechapishwa: 28/06/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)