Swali: Wako ambao wanajiepusha na kufanya biashara kwa ajili ya kuchukua tahadhari.
Jibu: Hakuna mashiko. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alifanya biashara. Vivyo hivyo Maswahabah (Radhiya Allaahu ´anhum) walifanya biashara ilihali wao ndio watu bora zaidi.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Ta´liyqaat ´alaal-Fatwaa al-Hamawiyyah al-Kubraa, uk. 157
- Imechapishwa: 14/02/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)