Swali: Nikimpata kondoo aliyetelekezwa jangwani napata dhambi nikimwacha kwa kuzingatia kwamba anaweza kuwa khatarini?
Jibu: Haikulazimu. Mwache mpaka pale atakapokuja mwenye naye. Si jukumu lako.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (31)
- Imechapishwa: 05/03/2022
Swali: Nikimpata kondoo aliyetelekezwa jangwani napata dhambi nikimwacha kwa kuzingatia kwamba anaweza kuwa khatarini?
Jibu: Haikulazimu. Mwache mpaka pale atakapokuja mwenye naye. Si jukumu lako.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (31)
Imechapishwa: 05/03/2022
https://firqatunnajia.com/kondoo-au-mbuzi-aliyetelekezwa-jangwani/