Swali: Je, kuna kiwango kati ya matembezi mawili ya kuyatembelea makaburi?
Jibu: Hakuna kiwango. Lakini asiwe siku zote ni mwenye kuyatembelea.
Swali: Je, ni jambo limewekwa katika Shari´ah kuyatembelea kwenye masikukuu baada ya swalah ya idi?
Jibu: Hapana. Hakuwekwi kikomo siku ya ijumaa wala katika masikukuu. Pale itapomuwepesikia atayatembelea. Haijalishi kitu ni siku gani.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (15) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-24-11-1434_0.mp3
- Imechapishwa: 25/08/2019
Swali: Je, kuna kiwango kati ya matembezi mawili ya kuyatembelea makaburi?
Jibu: Hakuna kiwango. Lakini asiwe siku zote ni mwenye kuyatembelea.
Swali: Je, ni jambo limewekwa katika Shari´ah kuyatembelea kwenye masikukuu baada ya swalah ya idi?
Jibu: Hapana. Hakuwekwi kikomo siku ya ijumaa wala katika masikukuu. Pale itapomuwepesikia atayatembelea. Haijalishi kitu ni siku gani.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (15) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-24-11-1434_0.mp3
Imechapishwa: 25/08/2019
https://firqatunnajia.com/kiwango-kati-ya-matembezi-mawili/