Swali: Je, ni katika Sunnah mtoto wa kuzaliwa kupewa tende?
Jibu: Ndio, kwa kuwa tende ina sifa yake ya kipekee. Inatakiwa kitu cha kwanza kuingia kinywani mwa mtoto iwe ni tende. Hivi ndio bora.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (42) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-03-10.MP3
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Je, ni katika Sunnah mtoto wa kuzaliwa kupewa tende?
Jibu: Ndio, kwa kuwa tende ina sifa yake ya kipekee. Inatakiwa kitu cha kwanza kuingia kinywani mwa mtoto iwe ni tende. Hivi ndio bora.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (42) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-03-10.MP3
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/kitu-cha-kwanza-kulishwa-mtoto-anapozaliwa/