Swali: Ni ipi hukumu ya kutumia kipaza sauti wakati wa matabano kwa watu wengi na kutema mate kwa kila mmoja katika wao?
Jibu: Hili halijuzu. Huku ni kuchupa mpaka katika matabano. Si jambo limewekwa katika Shari´ah kuwasomea watu wengi na sambamba na hilo akamtemea mate kila mmoja, au kile kipaza sauti au wote.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (31)
- Imechapishwa: 26/02/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket