Swali: Ni vipi mtu ataweza kujitenga mbali na mitego ya mapote haya? Wanawatia wajinga mchanga wa machoni na wote wanadai kuwa wako katika mfumo wa Ahl-us-Sunnah.
Jibu: Uokozi ni elimu tu yenye manufaa. Soma elimu yenye manufaa kwa wanachuoni. Baada ya hapo mtu ataweza kuona yaliyo sahihi na yasiyokuwa sahihi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (30) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2025-12-1435.mp3
- Imechapishwa: 16/06/2015
Swali: Ni vipi mtu ataweza kujitenga mbali na mitego ya mapote haya? Wanawatia wajinga mchanga wa machoni na wote wanadai kuwa wako katika mfumo wa Ahl-us-Sunnah.
Jibu: Uokozi ni elimu tu yenye manufaa. Soma elimu yenye manufaa kwa wanachuoni. Baada ya hapo mtu ataweza kuona yaliyo sahihi na yasiyokuwa sahihi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (30) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2025-12-1435.mp3
Imechapishwa: 16/06/2015
https://firqatunnajia.com/kinga-ya-mitego-ya-ahl-ul-bidah/