Swali: Ni vipi mtu ataweza kujitenga mbali na mitego ya mapote haya? Wanawatia wajinga mchanga wa machoni na wote wanadai kuwa wako katika mfumo wa Ahl-us-Sunnah.
Jibu: Uokozi ni elimu tu yenye manufaa. Soma elimu yenye manufaa kwa wanachuoni. Baada ya hapo mtu ataweza kuona yaliyo sahihi na yasiyokuwa sahihi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (30) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2025-12-1435.mp3
- Imechapishwa: 16/06/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)