Swali: Ni ipi hukumu ya kubusu chumba cha Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) au kupapasa milango?
Jibu: Hakuna kinachobusiwa isipokuwa jiwe jeusi. Ndio alichobusu Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Vyenginevyo havibusiwi katika majengo na mfano wake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (104) https://www.alfawzan. af.org.sa/sites/default/files/13-03-1441%D9%87%D9%80~1_0.mp3
- Imechapishwa: 26/12/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kubusu chumba cha Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) au kupapasa milango?
Jibu: Hakuna kinachobusiwa isipokuwa jiwe jeusi. Ndio alichobusu Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Vyenginevyo havibusiwi katika majengo na mfano wake.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (104) https://www.alfawzan. af.org.sa/sites/default/files/13-03-1441%D9%87%D9%80~1_0.mp3
Imechapishwa: 26/12/2020
https://firqatunnajia.com/kinachobusiwa-ni-jiwe-jeusi-peke-yake/