Swali: Kigezo cha tofauti kati ya ndoa ya Mut´ah na kuoa kwa nia ya kuacha?

Jibu: Mut´ah wanawekeana sharti wote wawili kwamba ndoa yao ni kwa muda wa miezi miwili, miezi mitatu, mwaka au miaka miwili. Muda ukimalizika ndoa imevunjika. Ni kama kukodishiana nyumba.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Fataawaa-ud-Duruus https://binbaz.org.sa/fatwas/6374/%D8%A7%D9%84%D9%81%D8%B1%D9%82-%D8%A8%D9%8A%D9%86-%D9%86%D9%83%D8%A7%D8%AD-%D8%A7%D9%84%D9%85%D8%AA%D8%B9%D8%A9-%D9%88%D8%A7%D9%84%D9%86%D9%83%D8%A7%D8%AD-%D8%A8%D9%86%D9%8A%D8%A9-%D8%A7%D9%84%D8%B7%D9%84%D8%A7%D9%82
  • Imechapishwa: 26/12/2020