Swali: Baadhi ya Hizbiyyuun wanasema eti Salafiyyuun kila siku humtoa nje mlinganizi. Ni tutaraddi madai haya?
Jibu: Hawamtoi nje yeyote. Mtu mwenyewe ndiye anayejitoa kwa kule kujichagulia kwake mwenyewe Bid´ah na kuwafuata wazushi.
- Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://sahab.net/forums/showthread.php?t=383822
- Imechapishwa: 11/12/2020
Swali: Baadhi ya Hizbiyyuun wanasema eti Salafiyyuun kila siku humtoa nje mlinganizi. Ni tutaraddi madai haya?
Jibu: Hawamtoi nje yeyote. Mtu mwenyewe ndiye anayejitoa kwa kule kujichagulia kwake mwenyewe Bid´ah na kuwafuata wazushi.
Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://sahab.net/forums/showthread.php?t=383822
Imechapishwa: 11/12/2020
https://firqatunnajia.com/kila-siku-salafiyyuun-wanamtoa-nje-mlinganizi/