Swali: Inapokuja katika ´Iyd-ul-Adhwhaa na kusimama ´Arafah, kuona mwezi mwandamo kunatofautiana na Saudi Arabia. Ni lini natakiwa kufunga ´Arafah?

Jibu: Funga na nchi yako, ufungue na nchi yako na sherehekea ´iyd na nchi yako.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (45)
  • Imechapishwa: 26/07/2024