Swali: Je, Hadiyth hii kupitia kwa Ibn ´Abbaas (Radhiya Allaahu ´anhumaa) imesihi ya kwamba ikifika siku ya Qiyaamah ataita mwenye kuita upande wa Allaah (Ta´ala):
“Tanabahini! Hakika yule ambaye jina lake alikuwa akiitwa “Muhammad” asimame na kuingia Peponi” kwa ajili ya kumkirimu Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Haya ni katika wanayoyapamba wao wenyewe. Sio Hadiyth. Kwa sababu tu mtu anaitwa Muhammad ndio aingie Peponi? Kuna makafiri ambao wanaitwa Muhammad. Je, na wao pia wataingia Peponi?
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (63) http://alfawzan.af.org.sa/node/16495
- Imechapishwa: 26/08/2017
Swali: Je, Hadiyth hii kupitia kwa Ibn ´Abbaas (Radhiya Allaahu ´anhumaa) imesihi ya kwamba ikifika siku ya Qiyaamah ataita mwenye kuita upande wa Allaah (Ta´ala):
“Tanabahini! Hakika yule ambaye jina lake alikuwa akiitwa “Muhammad” asimame na kuingia Peponi” kwa ajili ya kumkirimu Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Haya ni katika wanayoyapamba wao wenyewe. Sio Hadiyth. Kwa sababu tu mtu anaitwa Muhammad ndio aingie Peponi? Kuna makafiri ambao wanaitwa Muhammad. Je, na wao pia wataingia Peponi?
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (63) http://alfawzan.af.org.sa/node/16495
Imechapishwa: 26/08/2017
https://firqatunnajia.com/kila-ambaye-anaitwa-muhammad-ataingia-peponi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)