Swali: Kuao kwa nia ya kuacha wanachuoni wameita ´ndoa geni`?
Jibu: Sijui. Kikosi cha wanachuoni wengi wameona kuwa ni ndoa isiyokuwa na neno muda wa kuwa nia yake ni kati yake yeye na Allaah peke yake. Lakini wakiwekeana sharti haitofaa. Lakini bora ni kuacha kunuia hivo, kama alivosema al-Awzaa´iy na wanachuoni wengine.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaad-ud-Duruus https://binbaz.org.sa/fatwas/6373/%D9%87%D9%84-%D9%8A%D9%81%D8%B6%D9%84-%D8%AA%D8%B1%D9%83-%D8%A7%D9%84%D9%86%D9%8A%D8%A9-%D9%81%D9%8A-%D8%A7%D9%84%D8%B2%D9%88%D8%A7%D8%AC-%D8%A8%D9%86%D9%8A%D8%A9-%D8%A7%D9%84%D8%B7%D9%84%D8%A7%D9%82
- Imechapishwa: 16/01/2021
Swali: Kuao kwa nia ya kuacha wanachuoni wameita ´ndoa geni`?
Jibu: Sijui. Kikosi cha wanachuoni wengi wameona kuwa ni ndoa isiyokuwa na neno muda wa kuwa nia yake ni kati yake yeye na Allaah peke yake. Lakini wakiwekeana sharti haitofaa. Lakini bora ni kuacha kunuia hivo, kama alivosema al-Awzaa´iy na wanachuoni wengine.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaad-ud-Duruus https://binbaz.org.sa/fatwas/6373/%D9%87%D9%84-%D9%8A%D9%81%D8%B6%D9%84-%D8%AA%D8%B1%D9%83-%D8%A7%D9%84%D9%86%D9%8A%D8%A9-%D9%81%D9%8A-%D8%A7%D9%84%D8%B2%D9%88%D8%A7%D8%AC-%D8%A8%D9%86%D9%8A%D8%A9-%D8%A7%D9%84%D8%B7%D9%84%D8%A7%D9%82
Imechapishwa: 16/01/2021
https://firqatunnajia.com/kikosi-cha-wanachuoni-wengi-kuhusu-kuoa-kwa-nia-ya-kuacha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)