Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakika Allaah anapenda kuona athari ya neema Zake kwa mja.”
Kuna kigezo gani cha kuonekana athari ya neema kwa mja?
Jibu: Katika chakula na kinywaji chake. Asivae kama wanavyovaa mafukara. Ni aina fulani ya ubakhili na kukanusha neema.
Swali: Mfanyabiashara ambaye kipato chake kimekuwa ni kumi…
Jibu: Tunachokusudia ni kwamba ale, anywe na avae mavazi ya matajiri wenzake. Lengo ni ili asikanushe neema za Allaah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23320/ما-الضابط-في-اظهار-اثر-النعمة
- Imechapishwa: 23/12/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)