Swali: Baadhi ya watu wa zama hizi wamesema kwamba kafiri anayesema au kutenda ukafiri hawi kafiri mpaka hoja isimamishwe dhidi yake na wamewahusisha waabudia makaburi katika hilo?
Jibu: Hayo ni miongoni mwa ujinga wao. Waabudu makaburi ni makafiri, mayahudi ni makafiri na manaswara ni makafiri. Lakini wakati wa kuuliwa, kwanza wanaombwa kutubia; wakitubia ni vyema. Vinginevyo wanauliwa.
Swali: Vipi kuhusu suala la kusimamisha hoja?
Jibu: Wamefikiwa na Qur-aan:
هَـٰذَا بَلَاغٌ لِّلنَّاسِ وَلِيُنذَرُوا بِهِ
“Hii ni ufikishwaji wa ujumbe kwa watu na ili wawaonye kwayo.”[1]
Qur-aan imewafikia na wanaishi kati ya waislamu:
وَأُوحِيَ إِلَيَّ هَـٰذَا الْقُرْآنُ لِأُنذِرَكُم بِهِ وَمَن بَلَغَ
“Nimefunuliwa Wahy hii Qur-aan ili nikuonyeni kwayo na kila itakayomfikia.”[2]
هَـٰذَا بَلَاغٌ لِّلنَّاسِ
“Hii ni ufikishwaji wa ujumbe kwa watu.”
يَا أَيُّهَا الرَّسُولُ بَلِّغْ مَا أُنزِلَ إِلَيْكَ مِن رَّبِّكَ
”Ee Mtume! Fikisha yale yaliyoteremshwa kwako kutoka kwa Mola wako.”[3]
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amewafikishia, Qur-aan imewafikia na wao wako baina yetu na wanaisikia kupitia redio na njia nyingine. Hata hivyo hawajali. Anapokuja mtu kuwatahadharisha na kuwakataza humdhuru.
[1] 14:52
[2] 6:19
[3] 05:67
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31463/ما-ضابط-قيام-الحجة-على-الجاهل-والمبتدع
- Imechapishwa: 26/10/2025
Swali: Baadhi ya watu wa zama hizi wamesema kwamba kafiri anayesema au kutenda ukafiri hawi kafiri mpaka hoja isimamishwe dhidi yake na wamewahusisha waabudia makaburi katika hilo?
Jibu: Hayo ni miongoni mwa ujinga wao. Waabudu makaburi ni makafiri, mayahudi ni makafiri na manaswara ni makafiri. Lakini wakati wa kuuliwa, kwanza wanaombwa kutubia; wakitubia ni vyema. Vinginevyo wanauliwa.
Swali: Vipi kuhusu suala la kusimamisha hoja?
Jibu: Wamefikiwa na Qur-aan:
هَـٰذَا بَلَاغٌ لِّلنَّاسِ وَلِيُنذَرُوا بِهِ
“Hii ni ufikishwaji wa ujumbe kwa watu na ili wawaonye kwayo.”[1]
Qur-aan imewafikia na wanaishi kati ya waislamu:
وَأُوحِيَ إِلَيَّ هَـٰذَا الْقُرْآنُ لِأُنذِرَكُم بِهِ وَمَن بَلَغَ
“Nimefunuliwa Wahy hii Qur-aan ili nikuonyeni kwayo na kila itakayomfikia.”[2]
هَـٰذَا بَلَاغٌ لِّلنَّاسِ
“Hii ni ufikishwaji wa ujumbe kwa watu.”
يَا أَيُّهَا الرَّسُولُ بَلِّغْ مَا أُنزِلَ إِلَيْكَ مِن رَّبِّكَ
”Ee Mtume! Fikisha yale yaliyoteremshwa kwako kutoka kwa Mola wako.”[3]
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amewafikishia, Qur-aan imewafikia na wao wako baina yetu na wanaisikia kupitia redio na njia nyingine. Hata hivyo hawajali. Anapokuja mtu kuwatahadharisha na kuwakataza humdhuru.
[1] 14:52
[2] 6:19
[3] 05:67
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31463/ما-ضابط-قيام-الحجة-على-الجاهل-والمبتدع
Imechapishwa: 26/10/2025
https://firqatunnajia.com/kigezo-cha-kumsimamishia-hoja-mzushi-na-mjinga/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
