Swali: Kuna kigezo kipi cha kujifananisha na makafiri?
Jibu: Mavazi yanavaliwa na wao tu. Haifai kwa waislamu wakayavaa. Lakini sio kujifananisha endapo wanashirikiana wote. Kwa mfano kupanda ndege, gari na kupanda treni sio kujifananisha. Kwa sababu wote wanashirikiana. Vivyo hivyo kutumia vifaru, mizinga na vyenginevyo vilivyovumbuliwa hii leo sio kujifananisha.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22634/ما-الضابط-في-التشبه-بالكافرين
- Imechapishwa: 09/07/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)