Swali: Inafaa kukusanya kati ya Udhhiyah na ´Aqiyqah wakati ukikutana?
Jibu: Haijuzu. Kila kimoja kiko kivyake. Mbuzi mmoja hawi ni wa Udhhiyah na wakati huohuo akawa ni wa ´Aqiyqah. Kila kimoja kina hukumu zake.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-Muhsin bin Hamad al-´Abbaad
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Sunan-it-Tirmidhiy (235)
- Imechapishwa: 18/07/2020
Swali: Inafaa kukusanya kati ya Udhhiyah na ´Aqiyqah wakati ukikutana?
Jibu: Haijuzu. Kila kimoja kiko kivyake. Mbuzi mmoja hawi ni wa Udhhiyah na wakati huohuo akawa ni wa ´Aqiyqah. Kila kimoja kina hukumu zake.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-Muhsin bin Hamad al-´Abbaad
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Sunan-it-Tirmidhiy (235)
Imechapishwa: 18/07/2020
https://firqatunnajia.com/kichinjwa-kimoja-kwa-ajili-ya-udhhiyah-na-aqiyqah/