Swali: Je, bado analazimika kutoa kafara akiapa kabla ya kubaleghe na akajirejea baada ya kubaleghe?
Jibu: Wanazuoni wametofautiana juu ya viapo vya watoto kama vinafungika au havifungiki kabla ya wao kubaleghe. Udhahiri ni kwamba havifungiki. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kalamu imenyanyuliwa kwa watu watatu; aliyelala hadi aamke, mdogo hadi awe mkubwa na mwendawazimu hadi apate fahamu.”[1]
[1] Abu Daawuud (4405) na Ahmad (1362). Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”al-Irwaa’” (2/5).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24018/هل-تنعقد-ايمان-الصغار-وتلزمهم-كفارة
- Imechapishwa: 17/08/2024
Swali: Je, bado analazimika kutoa kafara akiapa kabla ya kubaleghe na akajirejea baada ya kubaleghe?
Jibu: Wanazuoni wametofautiana juu ya viapo vya watoto kama vinafungika au havifungiki kabla ya wao kubaleghe. Udhahiri ni kwamba havifungiki. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kalamu imenyanyuliwa kwa watu watatu; aliyelala hadi aamke, mdogo hadi awe mkubwa na mwendawazimu hadi apate fahamu.”[1]
[1] Abu Daawuud (4405) na Ahmad (1362). Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”al-Irwaa’” (2/5).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24018/هل-تنعقد-ايمان-الصغار-وتلزمهم-كفارة
Imechapishwa: 17/08/2024
https://firqatunnajia.com/kiapo-cha-mtoto-mdogo-kinazingatiwa/