Swali: Kuna mtu anaomba asiyekuwa Allaah. Nikamjulisha kwamba kitendo hichi ni shirki. Lakini hata hivyo hakuitikia. Je, nimhukumu shirki au hiyo ni kazi ya wanachuoni?
Jibu: Hatumhukumu mpaka tusikie anayoyasema na tuijue hali yake; je, ni mwenye akili timamu au ametokwa na akili? Haya ni lazima warejelewe wanachuoni na wamfikishie katika nchi yake ili awe juu ya bayana.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 58
- Imechapishwa: 03/08/2018
Swali: Kuna mtu anaomba asiyekuwa Allaah. Nikamjulisha kwamba kitendo hichi ni shirki. Lakini hata hivyo hakuitikia. Je, nimhukumu shirki au hiyo ni kazi ya wanachuoni?
Jibu: Hatumhukumu mpaka tusikie anayoyasema na tuijue hali yake; je, ni mwenye akili timamu au ametokwa na akili? Haya ni lazima warejelewe wanachuoni na wamfikishie katika nchi yake ili awe juu ya bayana.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 58
Imechapishwa: 03/08/2018
https://firqatunnajia.com/kazi-ya-kukufurisha-waachie-wanachuoni/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket