Swali: Ni ipi hukumu ya kufanya kazi katika hoteli inayouza pombe lakini kazi yangu iko mbali kabisa na haina mafungamano yoyote na pombe hiyo?
Jibu: Muda wa kuwa hoteli hii inauza pombe basi kuacha kazi hiyo na kujitenga nayo mbali ni jambo la lazima. Muislamu hawi ni mwenye kusaidia dhambi na uadui.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalish-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.mufti.af.org.sa/ar/content/العمل-في-فنادق-تبيع-الخمور
- Imechapishwa: 19/06/2022
Swali: Ni ipi hukumu ya kufanya kazi katika hoteli inayouza pombe lakini kazi yangu iko mbali kabisa na haina mafungamano yoyote na pombe hiyo?
Jibu: Muda wa kuwa hoteli hii inauza pombe basi kuacha kazi hiyo na kujitenga nayo mbali ni jambo la lazima. Muislamu hawi ni mwenye kusaidia dhambi na uadui.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalish-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.mufti.af.org.sa/ar/content/العمل-في-فنادق-تبيع-الخمور
Imechapishwa: 19/06/2022
https://firqatunnajia.com/kazi-kwenye-hoteli-au-duka-linalouza-pombe/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)