Swali: Tumesoma kuwa kuitikia wito wakati wa ndoa ni wajibu. Katika sherehe hii wakati mwingine kunakuwepo maovu. Tufanye nini?
Jibu: Tulilijibu jana kwa kusema ya kwamba, endapo mtu atajua kuwa sehemu ambapo amealikwa kuna maovu na hawezi kuyazuia asiende na hana juu yake dhambi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/al_makruf%204-13-08-1433.mp3
- Imechapishwa: 16/06/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket