Swali: Vipi kazi ya uanasheria?
Jibu: Haina neno endapo atamcha Allaah. Ni kama kazi ya uwakala; mtu akimcha Allaah na akachunga ukweli haina neno ni kama mfano wa uwakala. Ni kama mfano wa yule unayemuwakilisha akutetee.
Swali: Ijapo itakuwa ni kwa mujibu wa sheria zilizotungwa na watu?
Jibu: Hapana, haijuzu kwa sheria zilizotungwa na watu. Haijuzu. Uanasheria kwa mujibu wa Shari´ah.
Swali: Kunafunzwa sheria zilizotungwa na watu?
Jibu: Ninachokusudia ni kwamba haitofaa ikiwa anatetea kwa kutumia hukumu isiyokuwa Shari´ah ya Allaah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23224/حكم-العمل-في-مهنة-المحاماة
- Imechapishwa: 29/11/2023
Swali: Vipi kazi ya uanasheria?
Jibu: Haina neno endapo atamcha Allaah. Ni kama kazi ya uwakala; mtu akimcha Allaah na akachunga ukweli haina neno ni kama mfano wa uwakala. Ni kama mfano wa yule unayemuwakilisha akutetee.
Swali: Ijapo itakuwa ni kwa mujibu wa sheria zilizotungwa na watu?
Jibu: Hapana, haijuzu kwa sheria zilizotungwa na watu. Haijuzu. Uanasheria kwa mujibu wa Shari´ah.
Swali: Kunafunzwa sheria zilizotungwa na watu?
Jibu: Ninachokusudia ni kwamba haitofaa ikiwa anatetea kwa kutumia hukumu isiyokuwa Shari´ah ya Allaah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23224/حكم-العمل-في-مهنة-المحاماة
Imechapishwa: 29/11/2023
https://firqatunnajia.com/katika-hali-hii-kazi-ya-uanasheria-haitofaa/