Swalii: Kuna mtu anataka kuchinja Udhhiyah na yuko na deni. Hivyo anataka kuchukua mkopo ili anunue mnyama wa Udhhiyah.
Jibu: Mimi naona kuwa asifanye hivo isipokuwa akiwa ni mtu ambaye ana uhakika kuwa atalipa deni hilo. Mtu huyu tunasema kuwa amehuisha Sunnah na amefanya kheri. Midhali kwa mfano anajua kuwa hivi sasa hana kitu lakini huko baadaye atapopata mshahara wake atakuwa na kitu, hakuna neno akachukua mkopo.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (73) http://binothaimeen.net/content/1685
- Imechapishwa: 11/08/2019
Swalii: Kuna mtu anataka kuchinja Udhhiyah na yuko na deni. Hivyo anataka kuchukua mkopo ili anunue mnyama wa Udhhiyah.
Jibu: Mimi naona kuwa asifanye hivo isipokuwa akiwa ni mtu ambaye ana uhakika kuwa atalipa deni hilo. Mtu huyu tunasema kuwa amehuisha Sunnah na amefanya kheri. Midhali kwa mfano anajua kuwa hivi sasa hana kitu lakini huko baadaye atapopata mshahara wake atakuwa na kitu, hakuna neno akachukua mkopo.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (73) http://binothaimeen.net/content/1685
Imechapishwa: 11/08/2019
https://firqatunnajia.com/katika-hali-hii-hapana-neno-kukopa-kwa-ajili-ya-udhhiyah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)