Swali: Nikiingia msikitini na nikakuta imamu amerukuu au amesujudu – je, inafaa kwangu kusoma du´aa ya kufungulia swalah katika hali hii au inatosha du´aa ya imamu ya kufungulia swalah?
Jibu: Ukimkuta amerukuu au amesujudu basi lete Takbiyr na ujiunge naye. Katika hali hii hakuna haja ya du´aa ya kufungulia swalah.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/24)
- Imechapishwa: 28/10/2021
Swali: Nikiingia msikitini na nikakuta imamu amerukuu au amesujudu – je, inafaa kwangu kusoma du´aa ya kufungulia swalah katika hali hii au inatosha du´aa ya imamu ya kufungulia swalah?
Jibu: Ukimkuta amerukuu au amesujudu basi lete Takbiyr na ujiunge naye. Katika hali hii hakuna haja ya du´aa ya kufungulia swalah.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/24)
Imechapishwa: 28/10/2021
https://firqatunnajia.com/katika-hali-hii-hakuna-haja-ya-duaa-ya-kufungulia-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)