Swali: Ni ipi hukumu ya kufungua biashara na kafiri?
Jibu: Haina neno kushirikiana na kafiri ikiwa biashara hiyo ni ya halali. Ikiwa muislamu ndiye ambaye anasimamia kampuni, haina neno. Hata hivyo haifai ikiwa inasimamiwa na kafiri, kwa sababu atauza pombe, nguruwe na venginevyo. Haijuzu. Inafaa kwa muislamu kufungua kampuni kwa sharti muislamu huyo ndiye ambaye awe anasimamia kazi hiyo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (30)
- Imechapishwa: 19/02/2022
Swali: Ni ipi hukumu ya kufungua biashara na kafiri?
Jibu: Haina neno kushirikiana na kafiri ikiwa biashara hiyo ni ya halali. Ikiwa muislamu ndiye ambaye anasimamia kampuni, haina neno. Hata hivyo haifai ikiwa inasimamiwa na kafiri, kwa sababu atauza pombe, nguruwe na venginevyo. Haijuzu. Inafaa kwa muislamu kufungua kampuni kwa sharti muislamu huyo ndiye ambaye awe anasimamia kazi hiyo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (30)
Imechapishwa: 19/02/2022
https://firqatunnajia.com/kampuni-na-kafiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)