Swali: Mwenye kusema kuwa asiyeswali hakufuru ameyaondosha matendo nje ya imani na hivyo maoni yake yameafikiana na ya Murji-ah?
Jibu: Hapana. Si kweli. Wako wanachuoni wengi wenye kuona kuwa mwenye kuacha swalah hakufuru. Miongoni mwao wako wenye kusema kuwa matendo ni sehemu katika imani. Yule mwenye maoni hayo hazingatiwi kuwa ni katika Murji-ah. Hawamkufurishi kwa sababu wamezifahamu dalili kwa njia yao. Kwa hivyo si kweli kwamba kila ambaye hamkufurishi mwenye kuacha swalah ni Murji-ah. Kwani wanachuoni wengi wanaonelea hivo. Kutokana na hayo ndio kumejengeka tuhuma zilizoko hii leo zinazomtia Shaykh al-Albaaniy (Rahimahu Allaah) katika Irjaa´ kwa sababu haonelei kuwa ni kafiri. Hili ni kosa. Mambo yangelikuwa hivo basi wanachuoni wote waliotangulia wa kale ambao hawamkufurishi ambaye haswali wangelikuwa ni Murji-ah, jambo ambalo haliwezekani.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-Muhsin bin Hamad al-´Abbaad
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.sahab.net/forums/index.php?showtopic=143722
- Imechapishwa: 01/12/2020
Swali: Mwenye kusema kuwa asiyeswali hakufuru ameyaondosha matendo nje ya imani na hivyo maoni yake yameafikiana na ya Murji-ah?
Jibu: Hapana. Si kweli. Wako wanachuoni wengi wenye kuona kuwa mwenye kuacha swalah hakufuru. Miongoni mwao wako wenye kusema kuwa matendo ni sehemu katika imani. Yule mwenye maoni hayo hazingatiwi kuwa ni katika Murji-ah. Hawamkufurishi kwa sababu wamezifahamu dalili kwa njia yao. Kwa hivyo si kweli kwamba kila ambaye hamkufurishi mwenye kuacha swalah ni Murji-ah. Kwani wanachuoni wengi wanaonelea hivo. Kutokana na hayo ndio kumejengeka tuhuma zilizoko hii leo zinazomtia Shaykh al-Albaaniy (Rahimahu Allaah) katika Irjaa´ kwa sababu haonelei kuwa ni kafiri. Hili ni kosa. Mambo yangelikuwa hivo basi wanachuoni wote waliotangulia wa kale ambao hawamkufurishi ambaye haswali wangelikuwa ni Murji-ah, jambo ambalo haliwezekani.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-Muhsin bin Hamad al-´Abbaad
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.sahab.net/forums/index.php?showtopic=143722
Imechapishwa: 01/12/2020
https://firqatunnajia.com/kama-al-albaaniy-angelikuwa-ni-murjiy-basi-maalik-ash-shaafiiy-na-ahmad-nao-wangelikuwa-ni-murji-ah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)