Swali: Ipi hukumu ya Uislamu kwa mwenye kuzini na msichana wa baba yake? Je, ni sahihi atahukumiwa kupigwa bakora?
Jibu: Hukumu yake ni ya mzinifu. Ikiwa ni muhswan [kishawahi kuingia katika ndoa] apigwe mawe na kama bado ni bikira [hajawahi kuingia katika ndoa] apigwe bakora mia na [sauti haisikiki]. Kwa kuwa amefanya jarima kubwa tunaomba kinga kwa Allaah.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=12780
- Imechapishwa: 19/11/2014
Swali: Ipi hukumu ya Uislamu kwa mwenye kuzini na msichana wa baba yake? Je, ni sahihi atahukumiwa kupigwa bakora?
Jibu: Hukumu yake ni ya mzinifu. Ikiwa ni muhswan [kishawahi kuingia katika ndoa] apigwe mawe na kama bado ni bikira [hajawahi kuingia katika ndoa] apigwe bakora mia na [sauti haisikiki]. Kwa kuwa amefanya jarima kubwa tunaomba kinga kwa Allaah.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=12780
Imechapishwa: 19/11/2014
https://firqatunnajia.com/kaka-amezini-na-dada-yake-2/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)