Swali: Ipi hukumu ya Uislamu kwa mwenye kuzini na msichana wa baba yake? Je, ni sahihi atahukumiwa kupigwa bakora?
Jibu: Hukumu yake ni ya mzinifu. Ikiwa ni muhswan [kishawahi kuingia katika ndoa] apigwe mawe na kama bado ni bikira [hajawahi kuingia katika ndoa] apigwe bakora mia na [sauti haisikiki]. Kwa kuwa amefanya jarima kubwa tunaomba kinga kwa Allaah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=12780
- Imechapishwa: 19/11/2014
Swali: Ipi hukumu ya Uislamu kwa mwenye kuzini na msichana wa baba yake? Je, ni sahihi atahukumiwa kupigwa bakora?
Jibu: Hukumu yake ni ya mzinifu. Ikiwa ni muhswan [kishawahi kuingia katika ndoa] apigwe mawe na kama bado ni bikira [hajawahi kuingia katika ndoa] apigwe bakora mia na [sauti haisikiki]. Kwa kuwa amefanya jarima kubwa tunaomba kinga kwa Allaah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=12780
Imechapishwa: 19/11/2014
https://firqatunnajia.com/kaka-amezini-na-dada-yake-2/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket