Swali: Jini anaweza kumuingia jini na akamuathiri mwenendo wake na akazungumza kupitia ulimi wake wakati anaposomewa Qur-aan?
Jibu: Bila ya shaka, linatokea hili. Bila ya shaka jini humgusa mtu na kupita kwenye mwili wake kama damu inavopita kwenye mishipa ya damu. Linamgusa pia:
كَمَا يَقُومُ الَّذِي يَتَخَبَّطُهُ الشَّيْطَانُ مِنَ الْمَسِّ
“… kama anavyosimama yule aliyezugwa na shaytwaan kwa kuguswa.” (02:275)
Ukweli wa mambo unatolewa ushahidi na hili.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (15) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-02-09.mp3
- Imechapishwa: 11/11/2014
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket