Swali: Tulinunua mgahawa na mmiliki wake wa kabla akatwambia kuwa jina la mgahawa linarejea kwa kaburi katika mji mmoja wa Kiislamu, jambo ambalo linapelekea kuadhimisha makaburi na watu wanaliunganisha jina hilo na matembezi ya kaburi hilo. Unatunasihi nini? Tunapata dhambi tukiliacha jina hili?
Jibu: Mgahawa huo unaitwaje?
Muulizaji: Sanad Shahpar.
Jibu: Ikiwa maana yake ni shirki hivyo itakuwa haijuzu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (33) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid-10-11-1436-01.mp3
- Imechapishwa: 12/02/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)