Swali: Je, inafaa kwa mtu kumuuliza ndugu yake ikiwa yuko na sifa miongoni mwa sifa za wanafiki, kama alivyokuwa akifanya ´Umar (Radhiya Allaahu ´anh)?
Jibu: Sijui kipingamizi ili aweze kumwelekeza. Ikiwa unajua chochote kutoka kwangu basi nielekeze. Hapana neno kufanya hivo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23495/هل-للرجل-ان-يسال-اخاه-هل-فيه-نفاق
- Imechapishwa: 28/01/2024
Swali: Je, inafaa kwa mtu kumuuliza ndugu yake ikiwa yuko na sifa miongoni mwa sifa za wanafiki, kama alivyokuwa akifanya ´Umar (Radhiya Allaahu ´anh)?
Jibu: Sijui kipingamizi ili aweze kumwelekeza. Ikiwa unajua chochote kutoka kwangu basi nielekeze. Hapana neno kufanya hivo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23495/هل-للرجل-ان-يسال-اخاه-هل-فيه-نفاق
Imechapishwa: 28/01/2024
https://firqatunnajia.com/je-wewe-una-unafiki/