Swali: Je, swalah ya ´iyd inakidhiwa kwa mkusanyiko au mmojammoja?
Jibu: Hapana neno akiilipa pamoja na watu wa nyumbani kwake. Hivo ndivo alivokuwa akifanya Anas. Ni sawa pia akiikidhi peke yake. Jambo ni lenye wasaa – Allaah akitaka.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23494/هل-تقضى-صلاة-العيد-جماعة-ام-فرادى
- Imechapishwa: 28/01/2024
Swali: Je, swalah ya ´iyd inakidhiwa kwa mkusanyiko au mmojammoja?
Jibu: Hapana neno akiilipa pamoja na watu wa nyumbani kwake. Hivo ndivo alivokuwa akifanya Anas. Ni sawa pia akiikidhi peke yake. Jambo ni lenye wasaa – Allaah akitaka.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23494/هل-تقضى-صلاة-العيد-جماعة-ام-فرادى
Imechapishwa: 28/01/2024
https://firqatunnajia.com/aikidhi-na-familia-yake-au-peke-yake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)