Swali: Je, tufaha na machungwa vinatakiwa kutolewa zakaah?
Jibu: Havitakiwi kutolewa zakaah. Zakaah inakuwa katika nafaka na matunda yanayoliwa na yanahifadhiwa. Ama kuhusu tufaha na machungwa havihifadhiki. Kadhalika inahusiana na mboga, tomato, karoti na vitu mfano wake katika mboga za kila siku ni vitu visivyotakiwa kutolewa zakaah. Zakaah inakuwa katika nafaka, matunda, tende na zabibu ambavyo vinaliwa na vinahifadhika pia.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (05) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191110#219240
- Imechapishwa: 25/10/2018
Swali: Je, tufaha na machungwa vinatakiwa kutolewa zakaah?
Jibu: Havitakiwi kutolewa zakaah. Zakaah inakuwa katika nafaka na matunda yanayoliwa na yanahifadhiwa. Ama kuhusu tufaha na machungwa havihifadhiki. Kadhalika inahusiana na mboga, tomato, karoti na vitu mfano wake katika mboga za kila siku ni vitu visivyotakiwa kutolewa zakaah. Zakaah inakuwa katika nafaka, matunda, tende na zabibu ambavyo vinaliwa na vinahifadhika pia.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (05) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191110#219240
Imechapishwa: 25/10/2018
https://firqatunnajia.com/je-tufaha-na-machunga-vinatakiwa-kutolewa-zakaah/