Swali: Kitendo cha as-Swiddiyq, mtu anayekula kitu cha haramu kisha akajua baada ya kula, anatakiwa atapike?
Jibu: Akipatwa na kichefuchefu akakitapika ni vizuri. Lakini kama hakufanya hivyo, haimlazimu, kwa sababu huenda ikawa ni jambo gumu kwake. Ni mwenye udhuru kwa kuwa hakujua. Lakini akikitapika kwa kufuata mfano wa as-Swiddiyq (Radhiya Allaahu ´anh), basi ni jambo jema, kwani Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Jilazimiani na Sunnah zangu na Sunnah za makhaliyfah wangu waongofu na wenye kuongoza baada yangu.”
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31350/هل-يلزم-من-علم-انه-اكل-حراما-ان-يقيىه
- Imechapishwa: 19/10/2025
Swali: Kitendo cha as-Swiddiyq, mtu anayekula kitu cha haramu kisha akajua baada ya kula, anatakiwa atapike?
Jibu: Akipatwa na kichefuchefu akakitapika ni vizuri. Lakini kama hakufanya hivyo, haimlazimu, kwa sababu huenda ikawa ni jambo gumu kwake. Ni mwenye udhuru kwa kuwa hakujua. Lakini akikitapika kwa kufuata mfano wa as-Swiddiyq (Radhiya Allaahu ´anh), basi ni jambo jema, kwani Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Jilazimiani na Sunnah zangu na Sunnah za makhaliyfah wangu waongofu na wenye kuongoza baada yangu.”
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31350/هل-يلزم-من-علم-انه-اكل-حراما-ان-يقيىه
Imechapishwa: 19/10/2025
https://firqatunnajia.com/je-ni-lazima-kujitapisha-chakula-cha-haramu-alichokula-mtu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
