Swali: Nimesikia kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ndani ya kaburi lake tukufu anayajua matendo ya watu hii leo. Je, maneno haya ni kweli au si kweli? Je, wakati muislamu anaposema:
السلام عليك أيها النبي ورحمة الله وبركاته
“Amani iwe juu yako, ee Nabii, na rehema na baraka za Allaah.”
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anasikia salamu na kumwitikia? Je, ni kweli?
Jibu: Kuhusu kumtolea salamu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kutoka kwa Ummah wake anaonyeshwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na anafikishiwa popote anapokuwa pindi tunapomtolea salamu popote tulipo ulimwenguni. Kuhusu matendo ya Ummah wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) sijui kama ni kweli au si kweli.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Nuur ´alaad-Darb (07) http://binothaimeen.net/content/13574
- Imechapishwa: 07/11/2020
Swali: Nimesikia kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ndani ya kaburi lake tukufu anayajua matendo ya watu hii leo. Je, maneno haya ni kweli au si kweli? Je, wakati muislamu anaposema:
السلام عليك أيها النبي ورحمة الله وبركاته
“Amani iwe juu yako, ee Nabii, na rehema na baraka za Allaah.”
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anasikia salamu na kumwitikia? Je, ni kweli?
Jibu: Kuhusu kumtolea salamu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kutoka kwa Ummah wake anaonyeshwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na anafikishiwa popote anapokuwa pindi tunapomtolea salamu popote tulipo ulimwenguni. Kuhusu matendo ya Ummah wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) sijui kama ni kweli au si kweli.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Nuur ´alaad-Darb (07) http://binothaimeen.net/content/13574
Imechapishwa: 07/11/2020
https://firqatunnajia.com/je-mtume-anaonyeshwa-matendo-ya-ummah-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)