Swali: Je, kusoma basmalah katika al-Faatihah ni nguzo ya al-Faatihah?
Jibu: Kusoma basmalah ni Sunnah na haiingii katika al-Faatihah wala katika Suurah zengine zote. Isipokuwa ni sehemu ya Aayah katika Suurah ”an-Naml”.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ash-Sharh al-Mumtaaz, uk. 18
- Imechapishwa: 15/07/2018
Swali: Je, kusoma basmalah katika al-Faatihah ni nguzo ya al-Faatihah?
Jibu: Kusoma basmalah ni Sunnah na haiingii katika al-Faatihah wala katika Suurah zengine zote. Isipokuwa ni sehemu ya Aayah katika Suurah ”an-Naml”.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: ash-Sharh al-Mumtaaz, uk. 18
Imechapishwa: 15/07/2018
https://firqatunnajia.com/je-kusoma-basmalah-katika-swalah-ni-nguzo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)