Swali: Je, kumesihi kitu kuhusu Hadiyth za nusu Sha´baan?
Jibu: Hapana. Hakukusihi zaidi ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akifunga kwa wingi katika Sha´baan. Hili ndio limesihi kutoka kwake. Baada ya hapo hakukusihi kitu katika usiku wala mcahna wa nusu Sha´baan.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/eg–14041434.mp3
- Imechapishwa: 28/04/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)