Swali: Je, inafaa kumtolea Zakaat-ul-Fitwr mtoto tumboni mwa mama yake?
Jibu: Inapendeza kumtolea Zakaat-ul-Fitwr mtoto aliyeko tumboni kutokana na kitendo cha ´Uthmaan (Radhiya Allaahu ´anh) na wala si lazima. Kwa sababu ingefungamanishwa naye kabla ya kuonekana kwake basi zakaah ingefungamanishwa na vijusi vya wajane.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdullaah bin Ghudayyaan
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (3382)
- Imechapishwa: 12/05/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket