Swali: Je, mtu anapaswa kuleta Takbiyr kwa Rak´ah aliyokosa ikiwa ametoa salamu baada ya kuswali Rak´ah tatu badala ya nne, kisha akasimama kukamilisha Rak´ah nyingine?
Jibu: Halina msingi. Tayari ameshaleta Takbiyr alipoinuka kutoka sijda ya pili. Katika hali hiyo atasimama kwa nia ya kuendelea na swalah na kuikamilisha Rak´ah iliyokosekana, bila haja ya takbira nyingine.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24894/اذا-سلم-عن-ثلاث-ثم-اتى-بالفاىتة-هل-يكبر-لها
- Imechapishwa: 27/12/2024
Swali: Je, mtu anapaswa kuleta Takbiyr kwa Rak´ah aliyokosa ikiwa ametoa salamu baada ya kuswali Rak´ah tatu badala ya nne, kisha akasimama kukamilisha Rak´ah nyingine?
Jibu: Halina msingi. Tayari ameshaleta Takbiyr alipoinuka kutoka sijda ya pili. Katika hali hiyo atasimama kwa nia ya kuendelea na swalah na kuikamilisha Rak´ah iliyokosekana, bila haja ya takbira nyingine.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24894/اذا-سلم-عن-ثلاث-ثم-اتى-بالفاىتة-هل-يكبر-لها
Imechapishwa: 27/12/2024
https://firqatunnajia.com/je-alete-takbiyr-nyingine-anayesimama-kukamilisha-rakah-ya-nne/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)