Swali: Wale waliosema kuwa aliyepata hadathi katika Rak´ah ya nne au ya tatu, basi anaweza kutawadha na kuikamilisha swalah yake…
Jibu: Hapana, hiyo si sahihi. Akipatwa na hadathi basi swalah yake imebatilika. Katika hali hiyo atatakiwa kuianza mwanzo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/27486/من-احدث-في-الصلاة-هل-يكمل-بعد-التطهر-او-يعيد
- Imechapishwa: 10/04/2025
Swali: Wale waliosema kuwa aliyepata hadathi katika Rak´ah ya nne au ya tatu, basi anaweza kutawadha na kuikamilisha swalah yake…
Jibu: Hapana, hiyo si sahihi. Akipatwa na hadathi basi swalah yake imebatilika. Katika hali hiyo atatakiwa kuianza mwanzo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/27486/من-احدث-في-الصلاة-هل-يكمل-بعد-التطهر-او-يعيد
Imechapishwa: 10/04/2025
https://firqatunnajia.com/je-akamilishe-swalah-yake-aliyepata-hadathi-ndani-ya-swalah/