Swali: Ni kina nani walosema kuwa imani ni maarifa tu?
Jibu: Jahmiyyah. Wao ndio wamesema kuwa imani ni maarifa ya moyo tu.
Swali: Ni kina nani walosema kuwa imani ni kauli tu?
Jibu: Karraamiyyah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (22) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1428-3-7.mp3
- Imechapishwa: 19/08/2020
Swali: Ni kina nani walosema kuwa imani ni maarifa tu?
Jibu: Jahmiyyah. Wao ndio wamesema kuwa imani ni maarifa ya moyo tu.
Swali: Ni kina nani walosema kuwa imani ni kauli tu?
Jibu: Karraamiyyah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (22) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1428-3-7.mp3
Imechapishwa: 19/08/2020
https://firqatunnajia.com/jahmiyyah-na-karraamiyyyah-kuhusu-imani/