Swali: Mwenye kutaka kuomba kazi ya kuwa imamu wa msikiti, je, ni imesuniwa kwake kuswali swalah ya Istikhaarah?
Jibu: Kila jambo ambalo lina utata imesuniwa kwa ajili yake kuswali swalah ya Istikhaarah.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (24)
- Imechapishwa: 19/09/2026
Swali: Mwenye kutaka kuomba kazi ya kuwa imamu wa msikiti, je, ni imesuniwa kwake kuswali swalah ya Istikhaarah?
Jibu: Kila jambo ambalo lina utata imesuniwa kwa ajili yake kuswali swalah ya Istikhaarah.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (24)
Imechapishwa: 19/09/2026
https://firqatunnajia.com/istikhaarah-kwa-ajili-ya-kazi-ya-uimamu/