Swali: Je, swalah ya Istikhaarah huswaliwa wakati mtu anasitasita kati ya mambo mawili au wakati ameshakusudia jambo moja?
Jibu: Swalah ya Istikhaarah huswaliwa wakati wa kutatanika. Ikiwa ameshakusudia jambo lakini ana shaka au anasitasita kati ya mambo mawili; amedhamiria safari lakini ana tashwishi, anataka kufunga ndoa na mwanamke lakini ana kusitasita au mfano wa hayo, basi ataswali Rak´ah mbili kisha ataomba ushauri kutoka kwa Allaah kuhusu jambo lililomtatiza.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31692/هل-تكون-الاستخارة-عند-العزم-على-امر-ام-التردد
- Imechapishwa: 14/11/2025
Swali: Je, swalah ya Istikhaarah huswaliwa wakati mtu anasitasita kati ya mambo mawili au wakati ameshakusudia jambo moja?
Jibu: Swalah ya Istikhaarah huswaliwa wakati wa kutatanika. Ikiwa ameshakusudia jambo lakini ana shaka au anasitasita kati ya mambo mawili; amedhamiria safari lakini ana tashwishi, anataka kufunga ndoa na mwanamke lakini ana kusitasita au mfano wa hayo, basi ataswali Rak´ah mbili kisha ataomba ushauri kutoka kwa Allaah kuhusu jambo lililomtatiza.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31692/هل-تكون-الاستخارة-عند-العزم-على-امر-ام-التردد
Imechapishwa: 14/11/2025
https://firqatunnajia.com/istikhaarah-inaswaliwa-wakati-mtu-anasitasita-au-baada-ya-kuamua/