Swali: Kufanya istighfaar ni miongoni mwa sababu za kupata riziki?
Jibu:
وَمَن يَتَّقِ اللَّـهَ يَجْعَل لَّهُ مَخْرَجًا وَيَرْزُقْهُ مِنْ حَيْثُ لَا يَحْتَسِبُ
“Na yeyote yuleanayemcha Allaah, atamjaalia njia [ya kutoka katika matatizo] na atamruzuku kutoka njia ambayo hatizamii.” (65:02-03)
Kufanya istighfaar na kuomba msamaha ni katika kumcha Allaah.
Swali: Mtu akusanye Dhikr na kufanya istighfaar vyote kwa pamoja?
Jibu: Ndio, mara afanye hivi na mara afanye hivi. Mara amtaje Allaah na mara nyingine afanye istighfaar.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22734/هل-الاستغفار-من-اسباب-الرزق
- Imechapishwa: 12/08/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)