Swali: Ni kipi kidhibiti juu ya nguo yenye kuvuka kongo mbili za miguu? Tumesikia baadhi ya watu wanasema kuwa haina neno endapo mtu atavaa bila ya kiburi.
Jibu: Isbaal ni haramu na ni dhambi kubwa:
“Chenye kuvuka kongo mbili za miguu ni Motoni.”[1]
Inajumuisha koti, suruwali, thawb, kikoi – vyote. Lakini adhabu inakuwa kubwa endapo mtu atafanya kwa kiburi. Hapo kunakuwa kumekusanyika Isbaal na kiburi.
[1] al-Bukhaariy (5787).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsirayat-12-07-1435-01_0.mp3
- Imechapishwa: 20/06/2020
Swali: Ni kipi kidhibiti juu ya nguo yenye kuvuka kongo mbili za miguu? Tumesikia baadhi ya watu wanasema kuwa haina neno endapo mtu atavaa bila ya kiburi.
Jibu: Isbaal ni haramu na ni dhambi kubwa:
“Chenye kuvuka kongo mbili za miguu ni Motoni.”[1]
Inajumuisha koti, suruwali, thawb, kikoi – vyote. Lakini adhabu inakuwa kubwa endapo mtu atafanya kwa kiburi. Hapo kunakuwa kumekusanyika Isbaal na kiburi.
[1] al-Bukhaariy (5787).
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsirayat-12-07-1435-01_0.mp3
Imechapishwa: 20/06/2020
https://firqatunnajia.com/isbaal-ni-haramu-kwa-hali-yoyote-ii/