Swali: Ni kipi kidhibiti juu ya nguo yenye kuvuka kongo mbili za miguu? Tumesikia baadhi ya watu wanasema kuwa haina neno endapo mtu atavaa bila ya kiburi.

Jibu: Isbaal ni haramu na ni dhambi kubwa:

“Chenye kuvuka kongo mbili za miguu ni Motoni.”[1]

Inajumuisha koti, suruwali, thawb, kikoi – vyote. Lakini adhabu inakuwa kubwa endapo mtu atafanya kwa kiburi. Hapo kunakuwa kumekusanyika Isbaal na kiburi.

[1] al-Bukhaariy (5787).

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsirayat-12-07-1435-01_0.mp3
  • Imechapishwa: 20/06/2020