Swali: Kuna mtu, ambaye ni imamu wa msikitini, anaandika hirizi. Je, inajuzu kuswali nyuma yake?
Jibu: Inajuzu kuswali nyuma ya ambaye anaandika hirizi ya Qur-aan na du´aa zilizowekwa katika Shari´ah. Lakini pamoja na hivyo haifai kwake kuziandika kwa kuwa haijuzu kuzivaa.
Ama ikiwa hirizi hizi zina mambo ya shirki hakuswaliwi nyuma ya yule mwenye kuziandika na ni wajibu kumbainishia ya kwamba ni shirki. Ambaye ni wajibu kumbainishia ni yule anayemfunza.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (1/212)
- Imechapishwa: 24/08/2020
Swali: Kuna mtu, ambaye ni imamu wa msikitini, anaandika hirizi. Je, inajuzu kuswali nyuma yake?
Jibu: Inajuzu kuswali nyuma ya ambaye anaandika hirizi ya Qur-aan na du´aa zilizowekwa katika Shari´ah. Lakini pamoja na hivyo haifai kwake kuziandika kwa kuwa haijuzu kuzivaa.
Ama ikiwa hirizi hizi zina mambo ya shirki hakuswaliwi nyuma ya yule mwenye kuziandika na ni wajibu kumbainishia ya kwamba ni shirki. Ambaye ni wajibu kumbainishia ni yule anayemfunza.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (1/212)
Imechapishwa: 24/08/2020
https://firqatunnajia.com/inajuzu-kuswali-nyuma-ya-imamu-anayewaandikia-watu-hirizi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)