Swali: Ni ipi hukumu ya kusoma Qur-aan katika nyakati zilizotajwa kwenye Hadiyth ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)? Amekataza (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kuswali swalah ya sunnah wakati jua linapochomoza na wakati linapozama.
Jibu: Kusoma Qur-aan katika nyakati ambazo zimetajwa kwenye swali inajuzu kwa kukosekana dalili yenye kukataza. Asli ni kujuzu kusoma kutokana na Shari´ah kusisitiza hilo mpaka kuthibiti dalili yenye kukataza.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (4/110)
- Imechapishwa: 22/08/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kusoma Qur-aan katika nyakati zilizotajwa kwenye Hadiyth ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)? Amekataza (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kuswali swalah ya sunnah wakati jua linapochomoza na wakati linapozama.
Jibu: Kusoma Qur-aan katika nyakati ambazo zimetajwa kwenye swali inajuzu kwa kukosekana dalili yenye kukataza. Asli ni kujuzu kusoma kutokana na Shari´ah kusisitiza hilo mpaka kuthibiti dalili yenye kukataza.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (4/110)
Imechapishwa: 22/08/2020
https://firqatunnajia.com/inajuzu-kusoma-qur-aan-nyakati-swalah-imekatazwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)