Kuhusu ambaye amewakilishwa kumchinjia Udhhiyah mwengine au Waqf ambao ndani yake kuna vichinjwa vya Udhhiyah, hahitaji kuacha nywele, kucha wala ngozi yake. Sio yeye mwenye kuchinja. Hakika mambo yalivyo hilo linamuhusu mchinjaji ambaye amemuwakilisha kazi hiyo. Vivyo hivyo yule aliyetoa Waqf ndiye mwenye kuchinja. Msimamizi wa Waqf ni mwakilishwi na mtekelezaji na sio mchinjaji.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/16859/https://binbaz.org.sa/fatwas/16859/
- Imechapishwa: 06/06/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)