Swali: Inajuzu kusema juu ya mtu ambaye amefikia kiasi kikubwa cha elimu na uchaji Allaah:
“Mtu huyu ni walii wa Allaah?”
Jibu: Sisi hatushuhudii na wala hatumkatii yeyote isipokuwa yule aliyeshahidiliwa na Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Miongoni mwa misingi ya ´Aqiydah ni kwamba sisi hatumshahidilii yeyote uwalii wala Pepo kama ambavyo vilevile hatumkatii yeyote Moto. Isipokuwa yule aliyeshahidiliwa na Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Lakini hata hivyo tuna matarajio kwa mtu mwema na tunachelea kwa muovu. Huu ni msingi katika ´Aqiydah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (05) http://alfawzan.af.org.sa/node/2048
- Imechapishwa: 18/11/2016
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)